Thursday, 27 July 2017

Nchi ya viwanda inawezekana endapo wajasiliamali watakuwa wabunifu wa kuanzisha viwanda vya kutenengeza  bidhaa bora na kwa wingi au kujikita katika kuzalisha  malighafi zitakazohitajika katika  viwanda vitakavyoanzishwa.Tusisubiri kuajiriwa kwenye viwanda hivyo; si lazima kuwa na mtaji mkubwa kuanzisha kiwanda, unaweza kuanza na kidogo; sekta ya viwanda ni sekta mtambuka inayotegemea sekta nyingi ili kuendelea. Itafika muda viwanda vingi vitaanzishwa na kuhitaji malighafi nyingi kutoka nchini, endapo vwanda havitapatamalighafi ya kutosha vikianza kuagiza nje tutaanza kulalamika. Hivyo chukua hatua sasa kwa kuchangamkia fursa mbalimbali kutokana na sera hii, fanya tafiti na amua sasa!





TEMISE Tanzania na HERTU Investment tunahitaji watu wenye ujuzi, wachapakazi, wabunifu, na waaminifu watakaohusika na uuzaji na usambazaji wa bidhaa na utangazaji wa huduma zinazotolewa na taasisi. 

Tuesday, 11 July 2017

Burns Cholesterol:
As mushrooms are full of proteins, fibers, enzymes, and low carbohydrates with zero cholesterol and fats, they can keep you safe from cholesterol by burning it after digestion.

 Prevents Breast And Prostate Cancers:
Mushrooms include beta-glucans and conjugated linoleic acid with anti-carcinogens. These help in preventing breast cancer and prostate cancer. Linoleic acid helps in suppressing estrogen in women after menopause to prevent breast cancer while Beta-Glucans helps in preventing prostate cancer. Selenium helps the most in suppressing these cancerous cells.

 Perfect Diet For Diabetics:
Mushrooms contain no fat, low carbohydrates, high proteins, enzymes, vitamins, minerals, and fibers. Thus, it is an ideal diet for diabetics. The natural enzymes in it help in breaking down the sugars and starch. They also improve the functioning of the endocrinal glands. Moreover, the natural antibiotics in mushrooms help the diabetic people from easily prone infections.

 Helps Build Immunity:
The combination of vitamins A, B, and C in mushrooms help build good immune system. The strong antibiotics present in them helps to fight against infections. The antioxidant, Ergothioneine protects from free radicals.

 Aids in Weight Loss:
Everyone knows that to lose fat and cholesterol, you need to burn that extra fat which is ideally used to digest the proteins in your body. While dieting, it is always recommended to take high protein; low carbohydrates and no fat diet which is offered by mushrooms.

Vitamin D:
Mushroom is the only vegetable which contains vitamin D. It contains calcium, iron, potassium, copper, and selenium.

Vitamin B1:
Mushrooms are also a good source of Vitamin B1, which is also known as Thiamin. Thiamin is responsible for controlling the release of energy from carbohydrates. This is required for the normal functioning of our nervous system and brain.

Vitamin B2:
Mushrooms are enriched with Riboflavin or vitamin B2. This vitamin promotes good vision and eye health. Not only this, but it also maintains healthy red blood cells, which strengthens our immune system. Vitamin B2 present in mushroom is also responsible for healthy skin.

 Vitamin B3:
Niacin or Vitamin B3 is another important B-vitamin that is found in mushrooms. It helps in controlling the release of energy from carbohydrate, fat, and protein. This tends to keep our body’s nervous system and digestive system in good shape.

 Vitamin B5:
Vitamin B5, also known as Pantothenic Acid, is naturally found in mushrooms. It is a very important vitamin that is essential for various metabolic roles in our body. Pantothenic Acid also provides assistance in producing hormones in our body.

Vitamin B6:
Vitamin B6 is also found in mushrooms. It helps in boosting your mood. Vitamin B6 regulates our body’s internal clock that is very important for normal brain function and development. This vitamin is also responsible for alleviating mood swings and depression.

 Vitamin B9:
Mushrooms are very rich in vitamin B9, which is commonlycommonlyy known as Folate. Vitamin B9 helps in the formation of white blood cells and red blood cells in bone marrow. Folate is also very essential for healthy growth of the body. Even pregnant women are advised to consume Folate, which helps in the proper growth of the fetus.

 Vitamin H:
Vitamin H or Biotin is also a B-vitamin type that is found in mushrooms. It is essential in the metabolism of carbohydrates and proteins. It strengthens our inner health by increasing immunity.

Sunday, 18 June 2017


Ukulima wa uyoga ni kitega uchumi kinachoweza kumnasua Mkulima mapema kutoka kwenye u maskini;
1. Ukuaji wake ni wa haraka huchukua  takriban siku 30-40 kuanza  kuvunwa  tangu  Mbegu kupandwa. Hivyo hurudisha pesa haraka kwa mwekezaji, na baada ya kuanza kuvunwa  mkulima akitunza vizuri ataendelea  kuvuna kwa miezi 2 hadi 4, kwa mpando  mmoja
2. Huhitaji eneo dogo  la ardhi
3.Gharama za uendeshaji ni ndogo  sana haihitaji umeme, hutumia  masalia ya mazao na takataka kuzalishia  uyoga n.k (gharama kubwa hutumika kwa miundombinu ya awali kama mashamba na vifaa n.k)
4.Hautegemei misimu ya mvua; hivyo Mkulima hujipatia kipato chake kipindi chote cha mwaka tofauti na mazao mengine.
BAADA YA KUVUNA
5.Mabaki baada ya uyoga kuvunwa  hutumika kama mbolea nzuri na ya Asili kwa kuoteshea mimea kama matunda na mboga mboga; pia hutumika Kutengeneza chakula cha mifugo.

Lakini ili kuwa na kitega uchumi cha uhakika zaidi mtu  yoyote anayetaka kuwekeza kwenye sekta hii hana budi kujifunza vizuri, na kwa undani sayansi na teknlojia ya ukulima wa aina mbalimbali za Uyoga: Uyoga wenye soko la uhakika, Uyoga wenye manufaa katika kuboresha afya ya jamii.

Imetolewa katika kitabu cha "UYOGA, FAIDA ZAKE KU-AFYA, KI-UCHUMI, KI-MAZINGIRA, NA KATIKA UKULIMA WAKE"; Keto E. Mshingeni, PH.D
Profesa, Hubert Kairuki Memorial University

Sunday, 11 June 2017

Eating Mushrooms and eating Red and Yellow Onions create better health for our bodies!
Mushrooms are full of B vitamins, including riboflavin, niacin, and pantothenic acid, which help to provide #energy by breaking down #proteins, #fats and #carbohydrates.
🍄#Bvitamins also play an important role in the nervous system.
🍄#Pantothenic acid helps with the production of hormones and also plays an important role in the nervous system.
🍄#Riboflavin helps maintain healthy red blood cells.
🍄#Niacin promotes healthy skin and makes sure the digestive and nervous systems function properly. 🍄#Mushrooms are also a source of important minerals:
🍄Selenium is a mineral that works as an antioxidant to protect body cells from damage that might lead to heart disease, some cancers and other diseases of aging. It also has been found to be important for the immune system and fertility in men.
🍄 Mushrooms are among the richest sources of selenium in the produce aisle and provide 8-22 mcg per serving.
🍄This is good news for vegetarians, whose sources of #selenium are limited.
🍄#Ergothioneine is a naturally occurring antioxidant that also may help protect the body’s cells. 🍄Mushrooms provide 2.8-4.9 mg of ergothioneine per serving of white, portabella or crimini mushrooms.
🍄#Copper helps make red blood cells also it helps keep bones and nerves healthy.
🍄#Potassium is an important mineral! It helps your nerves to function and muscles to contract. It also helps move nutrients into cells and waste products out of cells. A diet rich in potassium helps to offset some of sodium's harmful effects on blood pressure.
Onions!
Although more research is needed, #onions have been linked to improved bone health, lower blood sugar levels and reduced risk of cancer🎀 Observational studies have linked increased consumption of onions to reduced #risk of several types of #cancers, such as #stomach, #breast, #colon- and #prostate cancers.
Source: https://plus.google.com/11757338523784011…/posts/9mZ4DNWoVEP
Ganoderma lucidum are known as reishi in Japan and lingzhi in China. These medicinal mushrooms, which are usually ground up and added to teas and soups or sold in capsule form, have significant health benefits.
Reishi mushrooms get their medicinal powers from two components: polysaccharides and triterpenes. Iris Benzie, professor of biomedical science in the Department of Health Technology & Informatics at Hong Kong Polytechnic University, who has been studying reishi for 15 years, tells Time magazine: "Polysaccharides are believed to stimulate white cells and the immune system and possibly be involved in preventing new blood vessel growth, which has an anticancer effect because cancer cells growing rapidly need a good blood supply and encourage blood vessel growth to nourish them. Triterpenes are believed to be ingredients that might have something to do with lowering cholesterol."
Also, Reishi mushrooms contain complex sugars known as beta-glucans that may stop cancer cells from growing and spreading, according to the Memorial Sloan Kettering Cancer Center. They also boost immune response, and their triterpenes may have blood pressure-lowering and anti-allergy or antihistamine effects, the cancer center says.
Source: http://quiet-corner.com/…/5-medicinal-mushrooms-health-ben…/
HERTU Investment and Temise Tanzania through Hertu Farms Project has great honor to provide consultation services for establishing SMALL SCALE MUSHROOM FARMING DEMONSTRATION SITE, in Nyarugusu Refugees Camp, Kasulu District, in Kigoma Region.
The project is funded by Church World Services (CWS); a faith base organization transforming communities around the globe through just and sustainable responses to hunger, poverty, displacement and disaster. As a global humanitarian agency, CWS works to improve self-reliance and expand livelihood opportunities of vulnerable men and women in a variety of locations and settings. Since 2015, CWS has served as the lead agency for the ACT Alliance in responding to the emergency needs of Burundian men, women and children seeking protection in Tanzania.
Under refugee and host community livelihood programs (Nyarugusu refugee camp), through REFLECT pilot project, Nutrition and livelihood program; CWS aim to establish a small scale Mushroom Farming Demonstration site.

The following services will provided;
--Construction of mushrooms houses.
 
--Provide practical hands-on training to project beneficiaries on mushroom cultivation from, substrates    preparation, farm caring and planting, fruiting, harvesting, processing, storing, package and branding, marketing, business development for mushroom, cooking methods, record keeping, and financial management.

 --Entrepreneurial skills, Mentorship and capacity building


The project was established to meet the following objectives;
--To provide hands on training on mushrooms cultivation, providing entrepreneurial skills, Business Development Services, capacity building and mentorship to the beneficiaries 25 Women to start with and expected to reach 120 beneficiaries.
--Introducing the camp and the surrounding community to the pleasures and benefits of eating mushrooms to improve their health and nutrition
--Offer hands-on learning opportunities and inspiring the beneficiaries of the project to engage in mushrooms cultivation to improve economic self-reliance and livelihoods
--To improve self-reliance and expand livelihoods opportunities of vulnerable people in the camp and surrounding community
The expected outcome of the project:
--To improving nutrition and health of the Refugees in a camp and the surrounding community at Kasulu District.
--To improve economic self-reliance and livelihoods of Refugees and the community through mushrooms cultivation.




















Sunday, 14 May 2017

Katika kuadhimisha siku muhimu ya  Mama Duniani (Mother's Day) HERTU Investment/ Hertu Farms na Temise Tanzania ambao moja ya malengo yao wamejikita katika kumkomboa mwanamke hasa kiuchumi, tukiamini kuwa mwanamke kumiliki uchumi wake ni moja ya fursa kubwa kwake kuweza kujiwezesha na zaidi kuleta chachu  kubwa katika ustawi wa uchumi  jamii na taifa kwa ujumla. Tumekuwa tukitoa mafunzo ya ujasiliamali, Biashara na Masoko na Kilimo cha uyoga na tukilenga zaidi kina mama na vijana. Kwa muda sasa tumekuwa na kikundi  cha wakina mama kijulikanacho kama #Wachapakazi ambapo tumewapa mafunzo ya namna bora ya kujiendesha, Biashara, Masoko, utoaji wa huduma  bora kwa wateja, uaandaji wa mipango biashara, uanzishwaji na usimamiaji wa miradi, ambapo  moja ya mradi waliojifunza ni Kilimo cha Uyoga kibiashara.

Kwa kutambua ari kubwa, hamasa,  juhudi zao, na kujituma kwao katika kutimiza ndoto na matarajio yao na kutambua umuhimu wa mwanamke katika jamii hasa  kiuchumi. Tunapenda kutangaza rasmi kuwa Kikundi hiki cha #WACHAPAKAZI chenye makao yake makuu, Mtaa wa Mafichoni, Manzese Dar es Salaam,  kiitakuwa sehemu ya wana  #MabadilikoniLazima. Na kuanzia leo ndio watakao kuwa na jukumu la kuzalisha Uyoga na bidhaa zake shambani  Hertu Farms lililopo Kijiji  cha Videte, MwanzoMgumu, Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani.

Hivyo tunaomba wadau wetu, na jamii kwa ujumla na  hasa wadau  wa Maendeleo kuwapa ushirikiano wa hali na mali  kama  kununua bidhaa zao, mawazo na hata kuwawezesha zaidi kiuchumi ili watimize malengo yao mengi walionayo. Tunafaraja kubwa kuoana kuwa nyuma ya bidhaa za Hertu Farms  kuna Nguvu kubwa ya wakina  Mama #Wachapakazi.

Nauli mbiu ya Wachapakazi: "Kazi ni Kazi daima, mwiko kukata tamaa"

HAPPY MORHERS' DAY

Imetolewa na
Shaban Kabanga
Meneja Miradi
HERTU Investment (Hertu Farms)
Simu:0713600915
Whatsup: 0712047com
E-Mail: Shabankabz@yahoo.com
Blog: hertufarms.blogsport.com








Wednesday, 3 May 2017

Nutritional value: One cup of raw oyster mushroom provides about 28 calories and 0.35 grams of fat, 2.85 grams of protein and 2 grams of fiber. The same amount provides 361 mg of potassium, 0.095 grams of Vitamin B6 and 33 µg of folate. The nutrients found in the mushroom vary when accompanied with meat or bread. It could be sautéed, stir fried or added to various dishes such as roast, stew and salads.
Health Benefits: Oyster mushrooms are mostly found in the Chinese foods. Due to its high amount of nutrients, it is widely popular. Oyster mushroom is sautéed with garlic and olive oil. They are loaded with various amounts of nutrients and vitamins which makes them a healthy diet. It is free from fat, cholesterol, gluten, low in calories and sodium. The iron found in Oyster mushrooms is high in comparison to the meat.
1. Maintain the levels of blood sugar: The insufficient amount of insulin in the body results in diabetes. The calcium is required for the insulin secretion. Vitamin D helps to reduce inflammation and raise the insulin sensitivity. The studies shows that Vitamin D helps to prevent both type 1 and type 2 diabetes.
2. Immunity system: Vitamin D helps to replicate the healthy cells and protects the autoimmune conditions such as flu and common cold. It also prevents the excessive or prolonged inflammatory responses. Inflammation os the cause for autoimmune disorders and chronic diseases such as rheumatoid arthritis, multiple sclerosis, irritable bowel syndrome, high blood pressure and digestive problems.
3. Cardiovascular conditions: Besides the balance of triglycerides and cholesterol levels, Vitamin B3 helps to reduce atherosclerosis that is hardening of arteries which may lead to the heart disease. It also assists to reduce the histamine production and inflammation along with the improvement in circulation. Vitamin B3 reduces the chances of reoccurring of heart disease or cardiac arrest in those who have already experienced. Additionally, Vitamin B3 helps to treat pellagra which is the health condition that occurs from the deficiency of niacin.
4. Skin problems: Vitamin B3 which is in the form of niacinamide helps to clear acne when it is applied topically in the skin. Niacin assists in the reduction of flare ups, skin inflammation, redness and irritation. It also helps to treat granuloma annulare and bullous pemphigoid which is a skin disease that blisters the skin, cause pain and infection.
5. Brain health: The studies show that copper has an impact on the brain pathways such as galactose and dopamine which helps to maintain the energy, mood, focus and outlook. The deficiency of copper results in fatigue, low metabolic activity, poor mood and problem in concentration. Copper also helps to utilize the antioxidants such as superoxide dismutase, Vitamin C, tyrosinase and ascorbate oxidase. This helps to prevent the damage made by free radicals in the brain and also slows down the process of ageing, neuro-degenerative diseases and cancer.
6. Cures anemia: An inadequate amount of oxygen in the blood, low red bloods cell production and the blood loss are the causes of Anemia. Vitamin B2 helps to prevent the anemia. Vitamin B2 is vital for production of red blood cells and steroid hormone synthesis. It assists in transporting the oxygen in the body and also mobilizes iron. The people with low Vitamin B2 have the high chances of sickle cell anemia and anemia. The research shows that Vitamin B2 helps to reduce the homocysteine levels in the blood.
7. Provides energy: Vitamin B converts the carbohydrate into glucose which is used as a fuel to produce energy. Vitamin B synthesizes the body and metabolizes proteins and fats. Vitamin B5 assist to rebuild muscles, tissues and organs. Vitamin B5 helps to maintain the optimum level of metabolism.
8. Prevents tooth decay: Vitamin D, phosphorus and calcium helps to form and maintain the dental health by assisting the jaw-bone mineral density, holding the teeth and tooth enamel. Children need calcium and phosphorus rich foods to develop the adult teeth and form the hard structure of teeth. Vitamin D requires phosphorus to balance the calcium and enhance absorption while forming tooth. Vitamin D reduces the gum inflammation which is related to periodontal gum disease.
9. Maintains mood: Neurotransmitter functions depend on the adequate amount of iron to maintain a positive mood. It also depends on the hormone balance such as dopamine, serotonin and others. So the deficiency of iron leads to bad sleep, poor mood, lack of motivation and low level of energy.
10. Alcoholism: Vitamin B1 assist to reduce the chances of brain disorder named as Wernicke-Korsakoff Syndrome which includes nerve damage, muscle movement, problem in walking and lethargy. It is caused due to the low thiamine and poor diet but is usually seen in the alcoholics. The high intake of thiamine can reduce the symptoms of alcohol withdrawal.


Sunday, 30 April 2017


HERTU INVESTMENT/Hertu Farms na TEMISE Tanzania tunapenda kuwatangazia wajasiliamali au vikundi vinavyopenda kuanzisha mradi wa uzalishaji Uyoga kibiashara sekta ambayo inayokuwa kwa kasi nchini baada ya kuwa na umuhimu mkubwa kwa kuimarisha afya za watu na kuwaingizia kipato kuwa tunatoa huduma zifuatazo.

1.Tutakupa ushauri elekezi , kwanza tutakufundishadhana nzima ya Biashara na ujasiliamali, na elimu sahihi ya uzalishaji  uyoga kibiashara, jinsi ya kuulima/kuzalisha  Uyoga bora, na pia tutakufundisha namna ya kufanya Biashara ya Uyoga kwa maana ya jinsi ya kufungasha, na kutafuta masoko/wateja  n.k.

3.Tutakusajili kwenye mtandao wetu maalumu wawazalishaji Uyoga ili kwa pamoja tuweze kutatua changamoto mbalimbali kamamasoko n.k. pia kwa pamoja tuweze kushiriki fursa mbalimbali ikiwemo maonesho,utengenezajiwa bidhaa mbalimbali za uyoga n.k.












4. Kwa wale ambao wameshaanza mradi na wanakabiriwa na changamoto mbalimbali tutakupa ushauri na kukujengea uwezo wa kutatua changamoto wenyewe na kufikia malengo yao.


Karibu ewe mjasilimali au kikundi ili uweze kutimiza lengo la kuanzisha mradi wa Uyoga ili uweze kuingiza kipato kupitia kilimo cha Uyoga ambacho, hutumia  muda mfupi hadi kuvuna kuliko mazao mengine (siku 30-40),  gharama ndogo sana za uendeshaji baada ya kujenga banda, muda mfupi kuhudumia, kutumia eneo dogo, kulima kipindi chote cha mwaka,  na kutumia malighafi zinazopatikana kwenye mazingira yetu kama maranda, majani ya migomba au mpunga, maganda ya karanga, au alizeti, mabaki ya miwa n.k . Na zaidi kuzalisha bidhaa ambayo mbali ya kukuingizia kipato  pia itakusaidia kuimarisha afya yako mwenyewe na jamii inayokuzunguka na zaidi utashiriki katika kutunza mazingira yetu.

Wasiliana nasi;

Mkurugenzi-Herman Msagamasi:  Simu 0783182632/0713622053 Whatsup 0757315931
Meneja Miradi-Shaban Kabanga:  Simu 0713600915/0625568750 Whatsup 0712047969

Au unaweza kufika ofisini;  Kinondoni- Mwananyamala(Komakoma),


Jengo  la Biashara Complex, Ghorofa 3,
Chumba Na.301, Dar es Salaam.




Pia tunakufikia popote ulipo katika mikoa mbalimbali

About our customers

About our customers

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget