
SIFA ZA BANDA
1. Liwe na uwezo wa kuhifadhi unyevu nyevu na ubaridi
2. Liwe na uwezo wa kuzuia wadudu na wanyama waharibifu kama panya,jongoo,konokono, pia inzi n.k
3. Liwe na mzunguko mzuri wa hewa n mwanga wa kutosha hasa wakati wa kuotesha; isipokuwa wakati wa utandaji wa mbegu mifuko ya uyoga unahitaji giza kiasi
4. Banda lisijengwe karibu na jalala la takataka, mabanda ya wanyama kama kuku,ng'ombe n.k
4. Lisiruhusu jua kuingia na upepo mkali
5. Liwe safi muda wote.
Kwa ushauri na mafunzo juu ya #KilimochauyogaKibiashara wasiliana na wataalamu waliobobea kwa namba 0783182632/0713600915 pia unaweza kufika Mwananyamala-Komakoma, Jengo la Biashara Complex, Ghorofa ya 3,Ofisi #301.
#UyogakwaAfyaKipatoMazingi
#MabadilikoniLazima
0 comments:
Post a Comment