Banda/Shamba la kuoteshea uyoga linajengwa kwa kutumia malighafi
zinazopatikana kwenye mazingira yako. Sehemu za joto linaweza kujengewa
nyasi na udongo, matete, Makuti n.k. ili kuhifadhi ubaridi na sehemu za
joto hata tofali na bati unaweza kujengewa.
SIFA ZA BANDA 1. Liwe na uwezo wa kuhifadhi unyevu nyevu na ubaridi 2. Liwe na uwezo wa kuzuia wadudu na wanyama waharibifu kama panya,jongoo,konokono, pia inzi n.k
3. Liwe na mzunguko mzuri wa hewa n mwanga wa kutosha hasa wakati wa
kuotesha; isipokuwa wakati wa utandaji wa mbegu mifuko ya uyoga
unahitaji giza kiasi 4. Banda lisijengwe karibu na jalala la takataka, mabanda ya wanyama kama kuku,ng'ombe n.k 4. Lisiruhusu jua kuingia na upepo mkali 5. Liwe safi muda wote. Kwa ushauri na mafunzo juu ya #KilimochauyogaKibiashara
wasiliana na wataalamu waliobobea kwa namba 0783182632/0713600915 pia
unaweza kufika Mwananyamala-Komakoma, Jengo la Biashara Complex, Ghorofa
ya 3,Ofisi #301. #UyogakwaAfyaKipatoMazingira #MabadilikoniLazima
KILIMO CHA UYOGA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA
#MabadilikoniLazima
UYOGA NA MAZINGIRA
Kilimo cha uyoga ni njia mojawapo ya kuhifadhi mazingira yetu;
1.Hulimwa kwa kutumia masalia mbalimbali ya mazao kama; maranda ya mbao (malaini-saw dust na magumu), Maganda-ya alizeti, …Read More
MUSHROOMS AND ONIONS EATING FOR BETTER HEALTH
Eating Mushrooms and eating Red and Yellow Onions create better health for our bodies!
Mushrooms are full of B vitamins, including riboflavin, niacin, and pantothenic acid, which help to provide #energy by breaking down #pr…Read More
MITAZAMO MBALIMBALI YA JAMII JUU YA UYOGA NA KILIMO CHA UYOGA.
Hakika
kabla ya kuanza kilimo hiki nami nilikuwa na mitazamo mbali mbali hasi kuhusu uyoga; lakini kwa mafunzo na uzoefu tuliupata baada ya kuingia
kwenye kilimo hiki tuliweza kupata
majibu mengi na kuondokana na maw…Read More
TUMIA KILA ULICHONACHO KUFIKIA MALENGO YAKOTumia maarifa, vipawa, rasilimali, muda na chochote ulichonacho
kuhakikisha ndoto yako inatimia, ili uweze kutathmini, kama inafaa uweze kupanua wigo
wa ndoto yako; huwezi kujua kama ndoto yako ni bora au sio mpaka uifany…Read More
0 comments:
Post a Comment