Sunday, 30 April 2017


HERTU INVESTMENT/Hertu Farms na TEMISE Tanzania tunapenda kuwatangazia wajasiliamali au vikundi vinavyopenda kuanzisha mradi wa uzalishaji Uyoga kibiashara sekta ambayo inayokuwa kwa kasi nchini baada ya kuwa na umuhimu mkubwa kwa kuimarisha afya za watu na kuwaingizia kipato kuwa tunatoa huduma zifuatazo.

1.Tutakupa ushauri elekezi , kwanza tutakufundishadhana nzima ya Biashara na ujasiliamali, na elimu sahihi ya uzalishaji  uyoga kibiashara, jinsi ya kuulima/kuzalisha  Uyoga bora, na pia tutakufundisha namna ya kufanya Biashara ya Uyoga kwa maana ya jinsi ya kufungasha, na kutafuta masoko/wateja  n.k.

3.Tutakusajili kwenye mtandao wetu maalumu wawazalishaji Uyoga ili kwa pamoja tuweze kutatua changamoto mbalimbali kamamasoko n.k. pia kwa pamoja tuweze kushiriki fursa mbalimbali ikiwemo maonesho,utengenezajiwa bidhaa mbalimbali za uyoga n.k.












4. Kwa wale ambao wameshaanza mradi na wanakabiriwa na changamoto mbalimbali tutakupa ushauri na kukujengea uwezo wa kutatua changamoto wenyewe na kufikia malengo yao.


Karibu ewe mjasilimali au kikundi ili uweze kutimiza lengo la kuanzisha mradi wa Uyoga ili uweze kuingiza kipato kupitia kilimo cha Uyoga ambacho, hutumia  muda mfupi hadi kuvuna kuliko mazao mengine (siku 30-40),  gharama ndogo sana za uendeshaji baada ya kujenga banda, muda mfupi kuhudumia, kutumia eneo dogo, kulima kipindi chote cha mwaka,  na kutumia malighafi zinazopatikana kwenye mazingira yetu kama maranda, majani ya migomba au mpunga, maganda ya karanga, au alizeti, mabaki ya miwa n.k . Na zaidi kuzalisha bidhaa ambayo mbali ya kukuingizia kipato  pia itakusaidia kuimarisha afya yako mwenyewe na jamii inayokuzunguka na zaidi utashiriki katika kutunza mazingira yetu.

Wasiliana nasi;

Mkurugenzi-Herman Msagamasi:  Simu 0783182632/0713622053 Whatsup 0757315931
Meneja Miradi-Shaban Kabanga:  Simu 0713600915/0625568750 Whatsup 0712047969

Au unaweza kufika ofisini;  Kinondoni- Mwananyamala(Komakoma),


Jengo  la Biashara Complex, Ghorofa 3,
Chumba Na.301, Dar es Salaam.




Pia tunakufikia popote ulipo katika mikoa mbalimbali

Related Posts:

  • ABOUT OUR PRODUCTS-FRUITS AND VEGITABLES Our project produce fresh fruits and vegetables to meet the demand for sustainable fruit and vegetables which is high and expected to rise as the population increases and many people become aware on the importance of consu… Read More
  • SEMINA KWA WAJASILIAMALIBado tunaweza kukusaidia kuifikia ndoto yako, Kwa dhati tunapenda kuwakaribisha wajasiriamali wote kushiriki nasi katika semina ya siku moja tu yenye lengo la kufungua njia ya mabadiliko katika kuongeza maarifa ya namna bora … Read More
  • OUR SERVICES Training, couching and support Through hands on experiences on or projects by observation, farm visit and lecturing help the community especially women, youth and the community groups to engage in similar Agribusiness ac… Read More
  • SEMINA YA BIASHARA, KILIMO CHA UYOGA NA UTENGENEZAJI VITAFUNWA KIBIASHARATemise Tanzania na HERTU Investment Hertu Farms kwa mara nyingine tena tunawakaribisha kwenye mafunzo yatakayowapa wajasiriamali elimu ya kuboresha biashara zao na kutambua fursa nyingi zilizopo nje ya kile wanachok… Read More
  • SEMINA YA SIKU 1 KWA WAJASILIAMALIBado lengo letu ni kukusaidia kuifikia ndoto yako ya mafanikio. Kwa dhati tunapenda kuwakaribisha wajasiriamali  wote kushiriki nasi katika semina ya siku moja tu yenye lengo la kufungua njia ya mabadiliko katika kuongez… Read More

0 comments:

Post a Comment

About our customers

About our customers

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget