Moja ya changamoto kubwa katika kilimo cha uyoga ni upatikanaji
wa Mbegu bora; kwa kuliona hilo HERTU INVESTMENT kupitia mradi wake wa HERTU Farms tunawaletea mbegu bora za Uyoga aina ya
Mamama/Oyster mushrooms (nyeupe, pinki na grey), ukiweka oda baada ya
siku 14 (wiki mbili) mbegu zinakuwa tayari. Bei ni Tsh. 3,000 kwa chupa.Unaweza kupiga simu 0783182632/0713600915; Barua pepe hertufarms@yahoo.com au kwa njia ya Whatsup 0757315931
Tunasafirisha mikoa mbalimbali Tanzania na nchi jirani
Pia tunatoa Mafunzo, ushauri, uanzishaji, usimamizi na tathmini ya miradi ya kilimo cha Uyoga kibiashara.
Tunapatikana Mwananyamala-komakoma, Biashara complex, Ghorofa ya 3, Ofisi #301; pia shambani Kisarawe-Mwanzomgumu, Mkoa wa Pwani.
KARIBU KATIKA SEKTA HII MPYA INAYOKUA KWA KASI NCHINI; KWA KUIMARISHA AFYA, KIPATO NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA
#MabadilikoniLazima
Tunapatikana Mwananyamala-komakoma, Biashara complex, Ghorofa ya 3, Ofisi #301; pia shambani Kisarawe-Mwanzomgumu, Mkoa wa Pwani.
KARIBU KATIKA SEKTA HII MPYA INAYOKUA KWA KASI NCHINI; KWA KUIMARISHA AFYA, KIPATO NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA
#MabadilikoniLazima
| Pinki |
| Hudhurungi (Grey) |

0 comments:
Post a Comment