Nchi ya viwanda inawezekana endapo wajasiliamali watakuwa wabunifu wa kuanzisha viwanda vya kutenengeza bidhaa bora na kwa wingi au kujikita katika kuzalisha malighafi zitakazohitajika katika viwanda vitakavyoanzishwa.Tusisubiri kuajiriwa kwenye viwanda hivyo; si lazima kuwa na mtaji mkubwa kuanzisha kiwanda, unaweza kuanza na kidogo; sekta ya viwanda ni sekta mtambuka inayotegemea sekta nyingi ili kuendelea. Itafika muda viwanda vingi vitaanzishwa na kuhitaji malighafi nyingi kutoka nchini, endapo vwanda havitapatamalighafi ya kutosha vikianza kuagiza nje tutaanza kulalamika. Hivyo chukua hatua sasa kwa kuchangamkia fursa mbalimbali kutokana na sera hii, fanya tafiti na amua sasa!
Thursday, 27 July 2017
July 27, 2017
hertu
No comments
Related Posts:
KILIMO CHA UYOGA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA #MabadilikoniLazima UYOGA NA MAZINGIRA Kilimo cha uyoga ni njia mojawapo ya kuhifadhi mazingira yetu; 1.Hulimwa kwa kutumia masalia mbalimbali ya mazao kama; maranda ya mbao (malaini-saw dust na magumu), Maganda-ya alizeti, … Read More
MUSHROOMS AND ONIONS EATING FOR BETTER HEALTH Eating Mushrooms and eating Red and Yellow Onions create better health for our bodies! Mushrooms are full of B vitamins, including riboflavin, niacin, and pantothenic acid, which help to provide #energy by breaking down #pr… Read More
SABABU 10 KWANINI WATANZANIA TUNAPASWA KULA UYOGA WALAU MARA MBILI KWA WIKI Licha ya kuwa na faida kubwa mwilini ulaji wa uyoga nchini bado upo chini sana; hii imetokana na kwanza, kutopatikana kwa urahisi uyoga pori kutokana na uharibifu wa mazingira; na hasa ikizingatia kuwa uyoga pori hupatikana … Read More
Mushrooms Project at Nyarugusu, Refugees Camp in Kasulu, Kigoma to improve eonomic self reliance and livelihoods of the Refugees and the sorrounding communityHERTU Investment and Temise Tanzania through Hertu Farms Project has great honor to provide consultation services for establishing SMALL SCALE MUSHROOM FARMING DEMONSTRATION SITE, in Nyarugusu Refugees Camp, Kasulu Distri… Read More
TUMIA KILA ULICHONACHO KUFIKIA MALENGO YAKOTumia maarifa, vipawa, rasilimali, muda na chochote ulichonacho kuhakikisha ndoto yako inatimia, ili uweze kutathmini, kama inafaa uweze kupanua wigo wa ndoto yako; huwezi kujua kama ndoto yako ni bora au sio mpaka uifany… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment