Sunday, 30 April 2017

HERTU INVESTMENT/Hertu Farms na TEMISE Tanzania tunapenda kuwatangazia wajasiliamali au vikundi vinavyopenda kuanzisha mradi wa uzalishaji Uyoga kibiashara sekta ambayo inayokuwa kwa kasi nchini baada ya kuwa na umuhimu mkubwa kwa kuimarisha afya za watu na kuwaingizia kipato kuwa tunatoa huduma zifuatazo. 1.Tutakupa ushauri elekezi , kwanza tutakufundishadhana nzima ya...
Hakika kabla ya kuanza kilimo hiki nami nilikuwa na mitazamo mbali mbali hasi kuhusu uyoga; lakini kwa mafunzo na uzoefu tuliupata baada ya kuingia kwenye kilimo hiki  tuliweza kupata majibu mengi na kuondokana na mawazo hasi kuhusu uyoga na kugundua kuwa uyoga ni hazina kubwa sana ambayo umuhimu wake haujatiliwa mkazo hasa kwenye nchi zinazoendelea tofauti na wenzetu...

Wednesday, 26 April 2017

Temise Tanzania na HERTU Investment Hertu Farms kwa mara nyingine tena tunawakaribisha kwenye mafunzo yatakayowapa wajasiriamali elimu ya kuboresha biashara zao na kutambua fursa nyingi zilizopo nje ya kile wanachokifanya. Karibu ujifunze BIASHARA, MASOKO, UTOAJI WA HUDUMA BORA KWA WATEJA, KILIMOCHAUYOGA NA UTENGENEZAJI VITAFUNWA KIBIASHARA. Kujisajili piga/tuma...

Saturday, 22 April 2017

Bado lengo letu ni kukusaidia kuifikia ndoto yako ya mafanikio. Kwa dhati tunapenda kuwakaribisha wajasiriamali  wote kushiriki nasi katika semina ya siku moja tu yenye lengo la kufungua njia ya mabadiliko katika kuongeza maarifa ya namna bora ya kuendesha biashara zetu na kuleta mafanikio zaidi, kuzitambua fursa zitokanazo na bidhaa tunazozizalisha, na kutambua utajiri...

Wednesday, 19 April 2017

Licha ya kuwa na faida kubwa mwilini ulaji wa uyoga nchini bado upo chini sana; hii imetokana na kwanza, kutopatikana kwa urahisi uyoga pori kutokana na uharibifu wa mazingira; na hasa ikizingatia kuwa uyoga pori hupatikana kipindi cha masika tu. Pia bado wakulima wa uyoga ni wachache sana hivyo kupelekea walaji wengi kutegemea uyoga kutoka nje, uyoga huu kutoka nje ambao...
Bado tunaweza kukusaidia kuifikia ndoto yako, Kwa dhati tunapenda kuwakaribisha wajasiriamali wote kushiriki nasi katika semina ya siku moja tu yenye lengo la kufungua njia ya mabadiliko katika kuongeza maarifa ya namna bora ya kuendesha biashara zetu na kuleta mafanikio zaidi, kuzitambua fursa zitokanazo na bidhaa tunazozizalisha, na kutambua utajiri wa fursa zilizopo ndani...
Training, couching and support Through hands on experiences on or projects by observation, farm visit and lecturing help the community especially women, youth and the community groups to engage in similar Agribusiness activities run by Hertu Farms Project. We established a one stop agribusiness and entrepreneurship  learning centre where people come and learn what...

Thursday, 13 April 2017

Our project produce fresh fruits and vegetables to meet the demand for sustainable fruit and vegetables which is high and expected to rise as the population increases and many people become aware on the importance of consuming healthy and sustainable food. Growing fruits and vegetables on other hand, is a source of nutrition and increasing small-scale farmers’ income, and...

Wednesday, 5 April 2017

Herman Msagamasi; the Founder and Managing Director of HERTU Investment rose on a family engaged in farming activities in a village, celebrating local flavours while supporting sustainable agriculture and good earth practices. Having enthusiasm on sustainable living the Founder concerned about the need of engaging in agribusiness which produces health foods, while support...

Tuesday, 4 April 2017

Mushrooms in Tanzania as many other countries is blessed with varieties of wild edible mushrooms.  Mushrooms gathering are done during the rainy season only and used as fresh or preserved them for future use, especially when vegetables are scarce. Mushrooms gathering which are done mostly by women and children in rural areas has risks such as collecting...

Monday, 3 April 2017

We produce and sell health and natural products such as Indigenous/Local chickens, Mushrooms, Fruits and other  vegetables. why this products? Traditional/indigenous/Local Chickens In Tanzania Agriculture as whole contribute 30% to National Growth Domestic Product (NGDP). Chickens contribute 16% of livestock NGDP, 3% of Agriculture NGDP, and 1%...
Hertu Farms inaomba kukutana kwa haraka iwezekanavyo na wazalishaji wa Uyoga (wazalishaji wadogo na ambao tayari wanazalisha) na wenye nia thabiti, wapo serious na ari ya kushirikiana ili kuweza kutatua changamoto zinazoikabili hii sekta hasa swala la soko.Kwa mzalishaji yoyote hasa aliye katika mikoa ya Dar es salaam, Pwani na mikoa ya karibu na Dar es salaam, anaombwa...

About our customers

About our customers

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget