Bado tunaweza kukusaidia kuifikia ndoto yako, Kwa dhati tunapenda kuwakaribisha wajasiriamali wote kushiriki nasi katika semina ya siku moja tu yenye lengo la kufungua njia ya mabadiliko katika kuongeza maarifa ya namna bora ya kuendesha biashara zetu na kuleta mafanikio zaidi, kuzitambua fursa zitokanazo na bidhaa tunazozizalisha, na kutambua utajiri wa fursa zilizopo ndani ya biashara ya kilimo cha uyoga. Mafunzo haya yameandaliwa na Temise Tanzaniapamoja na #HertuInvestment/ Hertu Farms Kwa mawasiliano/namna ya kushiriki, piga 0713600915/0783182632, nafasi ni ya watu 30 tu hivyo jisajili mapema kuepuka usumbufu.
SEMINA YA SIKU 1 KWA WAJASILIAMALIBado lengo letu ni kukusaidia kuifikia ndoto yako ya mafanikio. Kwa dhati tunapenda kuwakaribisha wajasiriamali wote kushiriki nasi katika semina ya siku moja tu yenye lengo la kufungua njia ya mabadiliko katika kuongez…Read More
OUR SERVICES
Training, couching and support
Through
hands on experiences on or projects by observation, farm visit and lecturing
help the community especially women, youth and the community groups to engage
in similar Agribusiness ac…Read More
Health Benefits of Oyster mushrooms–Pleurotus Ostreatus
Nutritional value: One cup of raw oyster mushroom provides about
28 calories and 0.35 grams of fat, 2.85 grams of protein and 2 grams of fiber.
The same amount provides 361 mg of potassium, 0.095 grams of Vitamin B6 and 33…Read More
HERTU INVESTMENT/Hertu Farms na TEMISE Tanzania tunapenda kuwatangazia wajasiliamali au vikundi vinavyopenda kuanzisha mradi wa uzalishaji Uyoga kibiashara sekta ambayo inayokuwa kwa kasi nchini baada ya kuwa na umuhimu m…Read More
0 comments:
Post a Comment