Bado lengo letu ni kukusaidia kuifikia ndoto yako ya mafanikio. Kwa dhati tunapenda kuwakaribisha wajasiriamali wote kushiriki nasi katika semina ya siku moja tu yenye lengo la kufungua njia ya mabadiliko katika kuongeza maarifa ya namna bora ya kuendesha biashara zetu na kuleta mafanikio zaidi, kuzitambua fursa zitokanazo na bidhaa tunazozizalisha, na kutambua utajiri wa fursa zilizopo ndani ya biashara ya kilimo cha uyoga.
Mafunzo haya yameandaliwa na Temise Tanzania pamoja na #HERTUInvestment/Hertu Farms
Kwa mawasiliano piga/tuma ujumbe 0713600915/0783182632, SEMINA NI BUREEE!
Nafasi ni ya watu 30 tu hivyo jisajili mapema kuepuka usumbufu. Semina hii itafanyika tar 26.4.2017 pale GOLDEN PARK HOTEL, Sinza, Dar es Salaam
Fomu ya kujiunga na mafunzo ni Tsh. 5,000 tu.
KARIBU SANA!
Saturday, 22 April 2017
April 22, 2017
hertu
No comments
Related Posts:
ABOUT OUR PRODUCTS-MUSHROOMS Mushrooms in Tanzania as many other countries is blessed with varieties of wild edible mushrooms. Mushrooms gathering are done during the rainy season only and used as fresh or preserved them for future use,… Read More
SEMINA YA SIKU 1 KWA WAJASILIAMALIBado lengo letu ni kukusaidia kuifikia ndoto yako ya mafanikio. Kwa dhati tunapenda kuwakaribisha wajasiriamali wote kushiriki nasi katika semina ya siku moja tu yenye lengo la kufungua njia ya mabadiliko katika kuongez… Read More
SEMINA YA BIASHARA, KILIMO CHA UYOGA NA UTENGENEZAJI VITAFUNWA KIBIASHARATemise Tanzania na HERTU Investment Hertu Farms kwa mara nyingine tena tunawakaribisha kwenye mafunzo yatakayowapa wajasiriamali elimu ya kuboresha biashara zao na kutambua fursa nyingi zilizopo nje ya kile wanachok… Read More
ABOUT OUR PRODUCTS-FRUITS AND VEGITABLES Our project produce fresh fruits and vegetables to meet the demand for sustainable fruit and vegetables which is high and expected to rise as the population increases and many people become aware on the importance of consu… Read More
SEMINA KWA WAJASILIAMALIBado tunaweza kukusaidia kuifikia ndoto yako, Kwa dhati tunapenda kuwakaribisha wajasiriamali wote kushiriki nasi katika semina ya siku moja tu yenye lengo la kufungua njia ya mabadiliko katika kuongeza maarifa ya namna bora … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment