Tuesday, 24 October 2017

#MabadilikoniLazima
UYOGA NA MAZINGIRA
Kilimo cha uyoga ni njia mojawapo ya kuhifadhi mazingira yetu;
1.Hulimwa kwa kutumia masalia mbalimbali ya mazao kama; maranda ya mbao (malaini-saw dust na magumu), Maganda-ya alizeti, karanga,miwa,maharage nk. Majani-mpunga,mikunde,ngano, magugu maji nk, magunzi ya mahindi mabua ya mahindi,mtama n.k hii hupunguza uchafu ambao ungetupwa au kuchomwa na kuchafua mazingira
2. Baada ya kumalizwa/kukoma kuvunwa masalia ya kimeng'enywa hutumika kama mbolea nzuri (kwa kilimo hai) kwa ajili ya mazao mbalimbali hasa bistani ya mboga mboga ,pia masalia hayo hutumika kwa ajili ya kulishia wanyama mbalimbali.
Kwa mahitaji ya Uyoga, bidhaa za Uyoga kama Sambusa, Unga, n.k pia mafunzo ya kuzalisha Uyoga kibiashara, wasiliana nasi 0713600915 au 0783182632
#KilimochaUyoga
#KilimoHai
#UyogakwaAfya



Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

About our customers

About our customers

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget