Tuesday, 24 October 2017

#MabadilikoniLazima
Tunashukuru #Mufindi na hasa Dada #Mary na familia yake, tumehitmisha uanzishwaji wa mradi wa Kilimo cha Uyoga kibiashara, tumetoa mafunzo ya Ujasiliamali/Ufanyaji Biashara, Masoko, uzalishaji Uyoga kibiashara, tukajenga banda/Shamba tutakaanda udongo wa kuoteshea uyoga(kimeng'nywa) na hatimaye kupanda uyoga kitaalamu chini ya uangalizi wetu. Tunaamini kupitia Dada #Mary #Mufindi na mkoa wa #Iringa kwa ujumla watahamasika kuchangamkia fursa ya kilimo cha Uyoga ili kujikwamua na umaskini na zaidi kuimarisha afya zao.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

About our customers

About our customers

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget