Wednesday, 9 August 2017

Taasisi za HERTU Investment na Tanzania Enterpreneurs Motivation in Self Employment (TEMISE) chini ya mradi ujulikanao kama Hertu Farms, (zinaojihusisha na mafunzo ya ujasiliamali, uendelezaji biashara na  kilimo biashara ikiwemo kilimo cha uyoga, matunda, mboga mboga na ufugaji wa kuku wa kienyeji) zimeendesha mafunzo ya Biashara, masoko, utoaji huduma bora kwa wateja...

Thursday, 3 August 2017

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
Moja ya changamoto kubwa katika kilimo cha uyoga ni upatikanaji wa Mbegu bora; kwa kuliona hilo HERTU INVESTMENT kupitia mradi wake wa HERTU Farms tunawaletea mbegu bora za Uyoga aina ya Mamama/Oyster mushrooms (nyeupe, pinki na grey), ukiweka oda baada ya siku 14 (wiki mbili) mbegu zinakuwa tayari. Bei ni Tsh. 3,000 kwa chupa. Unaweza kupiga simu 0783182632/0713600915;...
Banda/Shamba la kuoteshea uyoga linajengwa kwa kutumia malighafi zinazopatikana kwenye mazingira yako. Sehemu za joto linaweza kujengewa nyasi na udongo, matete, Makuti n.k. ili kuhifadhi ubaridi na sehemu za joto hata tofali na bati unaweza kujengewa. SIFA ZA BANDA 1. Liwe na uwezo wa kuhifadhi unyevu nyevu na ubaridi 2. Liwe na uwezo wa kuzuia wadudu na wanyama waharibifu...
Tumia maarifa, vipawa, rasilimali, muda na chochote ulichonacho kuhakikisha ndoto yako inatimia, ili uweze kutathmini, kama inafaa uweze kupanua wigo wa ndoto yako; huwezi kujua kama ndoto yako ni bora au sio mpaka uifanyie kazi mpaka mwisho; usiguse jambo au biashara ya ndoto yako na kuacha kabla hakijatimia wengi tumekuwa tukitaka kufanya mengi na kuacha bila ya kukamilisha...

About our customers

About our customers

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget