 Tumia maarifa, vipawa, rasilimali, muda na chochote ulichonacho 
kuhakikisha  ndoto yako inatimia, ili uweze kutathmini, kama inafaa uweze kupanua  wigo
 wa ndoto yako; huwezi kujua kama ndoto yako ni bora au sio mpaka uifanyie kazi mpaka mwisho; usiguse jambo au biashara ya ndoto yako na kuacha kabla hakijatimia wengi 
tumekuwa tukitaka kufanya mengi na kuacha bila ya kukamilisha hapo 
unakuwa unapoteza muda na rasilimali zako na hutofanikisha ndoto zako. 
Fanya tafiti  wa kina katika ndoto yako na ukiona ina  tija itekeleze 
kwa nguvu  zako zote mpaka itimie.
Tumia maarifa, vipawa, rasilimali, muda na chochote ulichonacho 
kuhakikisha  ndoto yako inatimia, ili uweze kutathmini, kama inafaa uweze kupanua  wigo
 wa ndoto yako; huwezi kujua kama ndoto yako ni bora au sio mpaka uifanyie kazi mpaka mwisho; usiguse jambo au biashara ya ndoto yako na kuacha kabla hakijatimia wengi 
tumekuwa tukitaka kufanya mengi na kuacha bila ya kukamilisha hapo 
unakuwa unapoteza muda na rasilimali zako na hutofanikisha ndoto zako. 
Fanya tafiti  wa kina katika ndoto yako na ukiona ina  tija itekeleze 
kwa nguvu  zako zote mpaka itimie.Thursday, 3 August 2017
 August 03, 2017 August 03, 2017
 hertu hertu
 No comments No comments
 Tumia maarifa, vipawa, rasilimali, muda na chochote ulichonacho 
kuhakikisha  ndoto yako inatimia, ili uweze kutathmini, kama inafaa uweze kupanua  wigo
 wa ndoto yako; huwezi kujua kama ndoto yako ni bora au sio mpaka uifanyie kazi mpaka mwisho; usiguse jambo au biashara ya ndoto yako na kuacha kabla hakijatimia wengi 
tumekuwa tukitaka kufanya mengi na kuacha bila ya kukamilisha hapo 
unakuwa unapoteza muda na rasilimali zako na hutofanikisha ndoto zako. 
Fanya tafiti  wa kina katika ndoto yako na ukiona ina  tija itekeleze 
kwa nguvu  zako zote mpaka itimie.
Tumia maarifa, vipawa, rasilimali, muda na chochote ulichonacho 
kuhakikisha  ndoto yako inatimia, ili uweze kutathmini, kama inafaa uweze kupanua  wigo
 wa ndoto yako; huwezi kujua kama ndoto yako ni bora au sio mpaka uifanyie kazi mpaka mwisho; usiguse jambo au biashara ya ndoto yako na kuacha kabla hakijatimia wengi 
tumekuwa tukitaka kufanya mengi na kuacha bila ya kukamilisha hapo 
unakuwa unapoteza muda na rasilimali zako na hutofanikisha ndoto zako. 
Fanya tafiti  wa kina katika ndoto yako na ukiona ina  tija itekeleze 
kwa nguvu  zako zote mpaka itimie.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






 August 03, 2017
August 03, 2017

 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment