Thursday, 3 August 2017

Tumia maarifa, vipawa, rasilimali, muda na chochote ulichonacho kuhakikisha ndoto yako inatimia, ili uweze kutathmini, kama inafaa uweze kupanua wigo wa ndoto yako; huwezi kujua kama ndoto yako ni bora au sio mpaka uifanyie kazi mpaka mwisho; usiguse jambo au biashara ya ndoto yako na kuacha kabla hakijatimia wengi tumekuwa tukitaka kufanya mengi na kuacha bila ya kukamilisha hapo unakuwa unapoteza muda na rasilimali zako na hutofanikisha ndoto zako. Fanya tafiti wa kina katika ndoto yako na ukiona ina tija itekeleze kwa nguvu zako zote mpaka itimie.


0 comments:

Post a Comment

About our customers

About our customers

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget