
#MabadilikoniLazimaTunashukuru #Mufindi na hasa Dada #Mary na familia yake, tumehitmisha uanzishwaji wa mradi wa Kilimo cha Uyoga kibiashara, tumetoa mafunzo ya Ujasiliamali/Ufanyaji Biashara, Masoko, uzalishaji Uyoga kibiashara, tukajenga banda/Shamba tutakaanda udongo wa kuoteshea uyoga(kimeng'nywa) na hatimaye kupanda uyoga kitaalamu chini ya uangalizi...