Tuesday, 24 October 2017

#MabadilikoniLazimaTunashukuru #Mufindi na hasa Dada #Mary na familia yake, tumehitmisha uanzishwaji wa mradi wa Kilimo cha Uyoga kibiashara, tumetoa mafunzo ya Ujasiliamali/Ufanyaji Biashara, Masoko, uzalishaji Uyoga kibiashara, tukajenga banda/Shamba tutakaanda udongo wa kuoteshea uyoga(kimeng'nywa) na hatimaye kupanda uyoga kitaalamu chini ya uangalizi...
#MabadilikoniLazima UYOGA NA MAZINGIRA Kilimo cha uyoga ni njia mojawapo ya kuhifadhi mazingira yetu; 1.Hulimwa kwa kutumia masalia mbalimbali ya mazao kama; maranda ya mbao (malaini-saw dust na magumu), Maganda-ya alizeti, karanga,miwa,maharage nk. Majani-mpunga,mikunde,ngano, magugu maji nk, magunzi ya mahindi mabua ya mahindi,mtama n.k hii hupunguza uchafu ambao ungetupwa...

About our customers

About our customers

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget