
#MabadilikoniLazima Hertu Farms Temise Tanzania
tunaamini sekta ya Uyoga licha ya kutopewa umuhimu mkubwa hapa nchini,
ni sekta muhimu sana kwa watanzania kwani unagusa mambo makubwa matatu
muhimu katika jamii ambayo ni Afya, Uchumi na Mazingira. Huu ni
msukumo mkubwa kwetu unaofanya usiku na mchana kupambana tukiamini
licha ya kuwa ni biashara lakini tunagusa maisha...