Wednesday, 17 January 2018

#MabadilikoniLazima Hertu Farms Temise Tanzania tunaamini sekta ya Uyoga licha ya kutopewa umuhimu mkubwa hapa nchini, ni sekta muhimu sana kwa watanzania kwani unagusa mambo makubwa matatu muhimu katika jamii ambayo ni Afya, Uchumi na Mazingira. Huu ni msukumo mkubwa kwetu unaofanya usiku na mchana kupambana tukiamini licha ya kuwa ni biashara lakini tunagusa maisha...

About our customers

About our customers

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget